TUME YA MADINI

Taifa logo iliiyopitishwa

CONTACT US | FAQs | STAFF MAIL | ENGLISH / SWAHILI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF MINERALS

 THE MINING COMMISSION

Uncategorized


Deprecated: preg_replace(): Passing null to parameter #3 ($subject) of type array|string is deprecated in /data/tumemadinigo/public_html/wp-includes/kses.php on line 1745

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA TUME YA MADINI MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA

Ujenzi wake wafikia asilimia 87.5 Yamtaka Mkandarasi kuongeza kasi ya ujenzi Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, leo Machi 19, 2024 ikiongozwa na Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Kheri Mahimbali imefanya ziara kwenye mradi wa ujenzi wa Jengo la Tume ya Madini …

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA TUME YA MADINI MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA Read More »

“SERIKALI ITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA MAZURI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI” – MHANDISI SAMAMBA

Dodoma Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa Serikali kupitia Tume ya Madini itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa wachimbaji wadogo wa madini nchini kama mkakati wa kuhakikisha mchango wao kwenye Sekta ya Madini unaendelea kukua sambamba na kuzalisha ajira zaidi. Mhandisi Samamba ameyasema hayo leo Machi 18, 2024 kwenye kikao cha …

“SERIKALI ITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA MAZURI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI” – MHANDISI SAMAMBA Read More »

TUME YA MADINI YAFANYA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI

Miaka mitatu ya Rais Samia………. Masoko ya madini 42 na vituo vya ununuzi wa madini 99 vyaanzishwa hadi sasa Kasi ya utoaji wa leseni za madini yaongezeka kutoka 5094 mwaka 2018/19 hadi 9,642 mwaka 2022/23 Makusanyo yaongezeka mara tatu kutoka Shilingi bilioni 213.3 mwaka 2016/17 hadi Shilingi bilioni 677.7 mwaka 2022/23 Ili kuhakikisha kuwa Sekta …

TUME YA MADINI YAFANYA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI Read More »

WAZIRI MAVUNDE AONGOZA IFTAR YA TUME YA MADINI

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde akiambatana na uongozi wa Tume ya Madini ameongoza Iftar iliyofanyika jijini Dodoma. Viongozi wengine walioshiriki katika Iftar hiyo ni pamoja na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Festus Mbwilo, Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula, Katibu Mtendaji wa …

WAZIRI MAVUNDE AONGOZA IFTAR YA TUME YA MADINI Read More »

TUME YA MADINI YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI CHUO CHA MIPANGO

Wadau wa elimu washauriwa kushirikiana na vyuo vya nje kwenye teknolojia katika Sekta ya Madini Wahadhiri wabaini  fursa hasa kwenye eneo la wajibu wa kampuni za madini  kwa jamii (CSR)  Dodoma – Ikiwa ni moja ya mikakati ya kuhakikisha wadau wanabaini fursa za uwekezaji katika Sekta ya Madini na kushiriki, Tume ya Madini kupitia Kurugenzi …

TUME YA MADINI YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI CHUO CHA MIPANGO Read More »

CHUO CHA IFM DODOMA WAPEWA ELIMU KUHUSU USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Wadau wa elimu wapongeza Tume ya Madini na kuomba elimu kuendelea kutolewa katika Taasisi nyingine za elimu   Dodoma – Tume ya Madini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi na Biashara ya Madini leo Machi 06, 2024 imeendesha mafunzo kwa wahadhiri na wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Tawi la Dodoma kuhusu ushirikishwaji wa watanzania …

CHUO CHA IFM DODOMA WAPEWA ELIMU KUHUSU USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI Read More »

WANAWAKE TUME YA MADINI WAPIGWA MSASA KUHUSU NAFASI YA TEKNOLOJIA KATIKA MALEZI YA WATOTO

Katika kuelekea kilele cha siku ya wanawake duniani, leo Machi 05, 2024 wanawake kutoka Tume ya Madini Makao Makuu na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Dodoma wamepewa mafunzo kuhusu nafasi ya teknolojia katika malezi ya watoto yaliyofanyika jijini Dodoma. Mafunzo hayo yaliyotolewa na Daktari wa Afya ya Akili kutoka Hospitali ya Mirembe …

WANAWAKE TUME YA MADINI WAPIGWA MSASA KUHUSU NAFASI YA TEKNOLOJIA KATIKA MALEZI YA WATOTO Read More »

Scroll to Top