WAZIRI MAVUNDE AELEKEZA KUFUTWA KWA LESENI NA MAOMBI YA LESENI 2648
Jumla ya eneo la ekari Milioni 13 zinashikiliwa na watu 6 Awataka wenye Leseni za utafiti kutowatumia wachimbaji wadogo kama sehemu ya utafiti Maeneo mengi kugawiwa vikundi vya wachimbaji wadogo na wawekezaji wenye uwezo wa kuchimba Wamiliki wa Leseni wadaiwa Bilioni 36 kwa kushindwa kulipa Zoezi hili kuwa endelevu kuondoa ubabaishaji katika sekta ya madini …
WAZIRI MAVUNDE AELEKEZA KUFUTWA KWA LESENI NA MAOMBI YA LESENI 2648 Read More »