TUME YA MADINI

Taifa logo iliiyopitishwa

CONTACT US | FAQs | STAFF MAIL | ENGLISH / SWAHILI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF MINERALS

 THE MINING COMMISSION

madini

WAZIRI MAVUNDE AELEKEZA KUFUTWA KWA LESENI NA MAOMBI YA LESENI 2648

Jumla ya eneo la ekari Milioni 13 zinashikiliwa na watu 6 Awataka wenye Leseni za utafiti kutowatumia wachimbaji wadogo kama sehemu ya utafiti Maeneo mengi kugawiwa vikundi vya wachimbaji wadogo na wawekezaji wenye uwezo wa kuchimba Wamiliki wa Leseni wadaiwa Bilioni 36 kwa kushindwa kulipa Zoezi hili kuwa endelevu kuondoa ubabaishaji katika sekta ya madini …

WAZIRI MAVUNDE AELEKEZA KUFUTWA KWA LESENI NA MAOMBI YA LESENI 2648 Read More »

TANZANIA YAANDIKA HISTORIA KUWA NA MGODI WA MADINI TEMBO, KIWANDA CHA KISASA CHA USAFISHAJI METALI

-Eneo la Tajiri- Handeni lina tani milioni 268 za mashapo ya Madini Tembo ikijumuisha tani milioni 74 za mashapo yaliyothibitika -Mgodi kuingizia Serikali Mapato dola za Marekani milioni 437.96 (Trilioni 1.12 Tshs) kutokana na gawio la hisa za Serikali, kodi na tozo -Kiwanda kuchakata na kuzalisha metali zenye ubora Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde …

TANZANIA YAANDIKA HISTORIA KUWA NA MGODI WA MADINI TEMBO, KIWANDA CHA KISASA CHA USAFISHAJI METALI Read More »

” THE MINING COMMISSION’S ROLE IN TRANSFORMING THE MINING SECTOR”

Three years of President Samia………. 42 mineral markets and 99 buying centers have been established. The speed of issuing mining licenses has increased from 5,094 in 2018/19 to 9,642 in 2022/23. Collections have tripled from 213.3 billion shillings in 2016/17 to 677.7 billion shillings in 2022/23. “Minister Mavunde Earns High Praise from Small-Scale Miners for …

” THE MINING COMMISSION’S ROLE IN TRANSFORMING THE MINING SECTOR” Read More »

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA TUME YA MADINI MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA

Ujenzi wake wafikia asilimia 87.5 Yamtaka Mkandarasi kuongeza kasi ya ujenzi Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, leo Machi 19, 2024 ikiongozwa na Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Kheri Mahimbali imefanya ziara kwenye mradi wa ujenzi wa Jengo la Tume ya Madini …

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA TUME YA MADINI MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA Read More »

“SERIKALI ITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA MAZURI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI” – MHANDISI SAMAMBA

Dodoma Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa Serikali kupitia Tume ya Madini itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa wachimbaji wadogo wa madini nchini kama mkakati wa kuhakikisha mchango wao kwenye Sekta ya Madini unaendelea kukua sambamba na kuzalisha ajira zaidi. Mhandisi Samamba ameyasema hayo leo Machi 18, 2024 kwenye kikao cha …

“SERIKALI ITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA MAZURI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI” – MHANDISI SAMAMBA Read More »

TUME YA MADINI YAFANYA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI

Miaka mitatu ya Rais Samia………. Masoko ya madini 42 na vituo vya ununuzi wa madini 99 vyaanzishwa hadi sasa Kasi ya utoaji wa leseni za madini yaongezeka kutoka 5094 mwaka 2018/19 hadi 9,642 mwaka 2022/23 Makusanyo yaongezeka mara tatu kutoka Shilingi bilioni 213.3 mwaka 2016/17 hadi Shilingi bilioni 677.7 mwaka 2022/23 Ili kuhakikisha kuwa Sekta …

TUME YA MADINI YAFANYA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI Read More »

WAZIRI MAVUNDE AONGOZA IFTAR YA TUME YA MADINI

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde akiambatana na uongozi wa Tume ya Madini ameongoza Iftar iliyofanyika jijini Dodoma. Viongozi wengine walioshiriki katika Iftar hiyo ni pamoja na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Festus Mbwilo, Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula, Katibu Mtendaji wa …

WAZIRI MAVUNDE AONGOZA IFTAR YA TUME YA MADINI Read More »

Scroll to Top