TUME YA MADINI

Taifa logo iliiyopitishwa

CONTACT US | FAQs | STAFF MAIL | ENGLISH / SWAHILI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF MINERALS

 THE MINING COMMISSION

Uncategorized


Deprecated: preg_replace(): Passing null to parameter #3 ($subject) of type array|string is deprecated in /data/tumemadinigo/public_html/wp-includes/kses.php on line 1745

MASOKO YA MADINI YAONGEZA KASI YA MAPATO SERIKALINI

Yaingiza Shilingi bilioni 47.68 katika kipindi cha Julai – Septemba, 2023 Mikakati mipya ya udhibiti wa utoroshaji wa madini yaainishwa Dodoma Novemba 17, 2023 Ili kuhakikisha kuwa Sekta ya Madini inakuwa na mchango mkubwa kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi na wananchi kunufaika na rasilimali za madini, Serikali kupitia Tume ya Madini mapema Mei, 2019 …

MASOKO YA MADINI YAONGEZA KASI YA MAPATO SERIKALINI Read More »

WANAWAKE NA MADINI

SERIKALI YAWATAKA WANAWAKE NJOMBE KUCHANGAMKIA FURSA ZA UCHIMBAJI MADINI Na Mwandishi Wetu, Njombe Kufuatia mkoa wa Njombe kuwa na hazina kubwa ya aina mbalimbali za madini, Serikali imewataka wachimbaji wadogo wa madini wanawake mkoani Njombe kuchangamkia fursa za uchimbaji wa madini ili waweze kujikwamua kiuchumi pamoja na familia zao. Rai hiyo imetolewa leo mkoani Njombe …

WANAWAKE NA MADINI Read More »

TUME YA MADINI YAJA NA MIKAKATI MIPYA YA UKUSANYAJI WA MADUHULI

Yapitisha maombi mapya 7596 ya leseni za madini kuanzia Julai hadi Septemba, 2023 Mhandisi Samamba awataka watanzania wengi kuwekeza kwenye Sekta ya Madini Ili kuhakikisha kuwa Sekta ya Madini inakuwa na mchango mkubwa kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi, juhudi mbalimbali zimekuwa zikifanywa na Serikali ikiwa ni pamoja na kufanya Marekebisho ya Sheria ya Madini …

TUME YA MADINI YAJA NA MIKAKATI MIPYA YA UKUSANYAJI WA MADUHULI Read More »

Scroll to Top