MASOKO YA MADINI YAONGEZA KASI YA MAPATO SERIKALINI
Yaingiza Shilingi bilioni 47.68 katika kipindi cha Julai – Septemba, 2023 Mikakati mipya ya udhibiti wa utoroshaji wa madini yaainishwa Dodoma Novemba 17, 2023 Ili kuhakikisha kuwa Sekta ya Madini inakuwa na mchango mkubwa kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi na wananchi kunufaika na rasilimali za madini, Serikali kupitia Tume ya Madini mapema Mei, 2019 …
MASOKO YA MADINI YAONGEZA KASI YA MAPATO SERIKALINI Read More »