TUME YA MADINI

Taifa logo iliiyopitishwa

CONTACT US | FAQs | STAFF MAIL | ENGLISH / SWAHILI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF MINERALS

 THE MINING COMMISSION

Madini News


Deprecated: preg_replace(): Passing null to parameter #3 ($subject) of type array|string is deprecated in /data/tumemadinigo/public_html/wp-includes/kses.php on line 1745

WAZIRI MAVUNDE AWATAKA MAAFISA MADINI WAKAZI WA MIKOA KUONGEZA KASI UKUSANYAJI WA MADUHULI

Mwanza   Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amewataka maafisa madini wakazi wa mikoa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa maduhuli ili kufikia lengo lililowekwa na Serikali la kukusanya shilingi bilioni 882 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024 Waziri Mavunde aliyasema hayo Januari 06, 2024 jijini Mwanza kwenye kikao chake na Menejimenti ya Tume ya …

WAZIRI MAVUNDE AWATAKA MAAFISA MADINI WAKAZI WA MIKOA KUONGEZA KASI UKUSANYAJI WA MADUHULI Read More »

WAZIRI MAVUNDE AAINISHA MAMBO MUHIMU KUFIKIA MALENGO

Katika Kuongeza Ushiriki wa Watanzania kwenye Uchumi wa Madini;   Mwanza Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Madini imedhamiria  kuweka mikakati  ya kuongeza ushiriki wa  watanzania katika shughuli za madini  ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya watanzania wanaotoa huduma na usambazaji wa bidhaa migodini sambamba na kufungamanisha Sekta …

WAZIRI MAVUNDE AAINISHA MAMBO MUHIMU KUFIKIA MALENGO Read More »

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MADINI AKUTANA NA MAAFISA MADINI WAKAZI WA MIKOA

Awataka kuongeza kasi katika ukusanyaji wa maduhuli, kutatua migogoro kwenye maeneo yenye uchimbaji wa madini, kudhibiti utoroshaji wa madini na kuongeza ubunifu kwenye utendaji kazi. Dodoma Desemba 13, 2023 Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Kheri Mahimbali amewataka maafisa madini wakazi wa mikoa nchini kuongeza kasi ya ukusanyaji wa maduhuli, kutatua migogoro kwenye shughuli za …

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MADINI AKUTANA NA MAAFISA MADINI WAKAZI WA MIKOA Read More »

Scroll to Top