WAZIRI MAVUNDE AWATAKA MAAFISA MADINI WAKAZI WA MIKOA KUONGEZA KASI UKUSANYAJI WA MADUHULI
Mwanza Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amewataka maafisa madini wakazi wa mikoa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa maduhuli ili kufikia lengo lililowekwa na Serikali la kukusanya shilingi bilioni 882 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024 Waziri Mavunde aliyasema hayo Januari 06, 2024 jijini Mwanza kwenye kikao chake na Menejimenti ya Tume ya …