TUME YA MADINI YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI CHUO CHA MIPANGO
Wadau wa elimu washauriwa kushirikiana na vyuo vya nje kwenye teknolojia katika Sekta ya Madini Wahadhiri wabaini fursa hasa kwenye eneo la wajibu wa kampuni za madini kwa jamii (CSR) Dodoma – Ikiwa ni moja ya mikakati ya kuhakikisha wadau wanabaini fursa za uwekezaji katika Sekta ya Madini na kushiriki, Tume ya Madini kupitia Kurugenzi …