“Mheshimiwa Waziri, Mkoa wa Tanga una kiasi kikubwa cha Madini Tembo kuliko mkoa wowote hapa nchini, na tunapata leseni kubwa ya Uchimbaji Madini haya ni imani yetu kwamba pindi Mradi huu utakapoanza shughuli shughuli za uzalishaji katika eneo la Tajiri wilayani Pangani itafungua fursa nyingi za ajira, biashara kwa Wananchi wetu pamoja na Uchumi na Maendeleo ya Mkoa wetu wa Tanga.”
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Batilda Buriani