WAZIRI MAVUNDE ATATUA MGOGORO WA WACHIMBAJI MADINI MALERA-TARIME
Aondoa zuio la awali la mgao wa mawe Aelekeza Wachimbaji waruhusiwe na mgawo kuanzia tarehe Machi 26, 2024 Wachimbaji waishukuru Serikali kwa utatuzi wa mgogoro na wenye Leseni za kuchimba dhahabu Asisitiza wachimbaji wadogo wasiondolewe katika maeneo ya uzalishaji Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde Machi 25, 2024 alifika katika eneo la Malera Wilaya ya …
WAZIRI MAVUNDE ATATUA MGOGORO WA WACHIMBAJI MADINI MALERA-TARIME Read More »