TUME YA MADINI

Taifa logo iliiyopitishwa

CONTACT US | FAQs | STAFF MAIL | ENGLISH / SWAHILI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF MINERALS

 THE MINING COMMISSION

mwanahamisi.msangi

WAZIRI MAVUNDE AFUTA MAOMBI YA LESENI ZA MADINI 227

-Awataka wadau kuzingatia matakwa ya Sheria -_wamiliki wa akaunti za uombaji na usimamizi wa leseni kwa njia ya mtandao ambao sio waaminifiu kusitishiwa akaunti zao -Zoezi la ufutaji wa maombi na Leseni kuwa endelevu -Amtaka kila mmoja kufuatilia hadhi ya maombi au Leseni zake Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde amebainisha kwamba Serikali kupitia Tume …

WAZIRI MAVUNDE AFUTA MAOMBI YA LESENI ZA MADINI 227 Read More »

WAZIRI MAVUNDE AAINISHA MIKAKATI YA UONGEZAJI THAMANI MADINI NCHINI

-Asikiliza changamoto za wadau wa madini. -Aiagiza Tume kuruhusu usafirishwaji wa madini yaliyoongezewa thamani kutokana na teknolojia iliyopo. -Serikali kuwezesha miundombinu ya uwekezaji wa viwanda vya thamani. Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde leo Aprili 22, 2024 jijini Dodoma amekutana na wafanyabiashara wa madini na wachimbaji wa madini kwa lengo la kusikiliza changamoto zinazowakabili kwenye …

WAZIRI MAVUNDE AAINISHA MIKAKATI YA UONGEZAJI THAMANI MADINI NCHINI Read More »

CHUO CHA SERIKALI ZA MITAA HOMBOLO WAPEWA ELIMU KUHUSU USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

_Wadau wa elimu wapongeza Tume ya Madini na kuomba elimu kuendelea kutolewa katika Taasisi nyingine za elimu_ *Dodoma* Tume ya Madini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi na Biashara ya Madini leo Aprili 16, 2024 imeendesha mafunzo kwa wahadhiri na wanafunzi wa Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo kuhusu ushirikishwaji wa watanzania katika Sekta ya Madini ikiwa …

CHUO CHA SERIKALI ZA MITAA HOMBOLO WAPEWA ELIMU KUHUSU USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI Read More »

WAZIRI MAVUNDE AAINISHA MIKAKATI YA KUMALIZA MIGOGORO MIRERANI

-Serikali yarusha ndege ya Utafiti ndani na nje ya ukuta kupata kupata viashiria vya mwamba wa madini -Taarifa za utafiti kusaidia kuwaongoza vizuri wachimbaji -Atoa tuzo kwa wachimbaji wanaorudisha kwa jamii(CSR) -Aongoza futari ya pamoja na wachimbaji wadogo Waziri wa Madini Mh. Anthony Mavunde amesema serikali itahakikisha inakuja na suluhisho la migogoro baina ya wachimbaji …

WAZIRI MAVUNDE AAINISHA MIKAKATI YA KUMALIZA MIGOGORO MIRERANI Read More »

Scroll to Top